Sola wa Husen
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Sola wa Husen (pia: Solus, Sol, Sualo; Uingereza, karne ya 8 - Solnhofen, Ujerumani, 4 Desemba 794) alikuwa padri mmisionari chini ya askofu Bonifas huko Ujerumani [1][2].

Kwa kujisikia wito wa mkaapweke, alimjuomba ruhusa ya kujifunga kusali tu kati ya Bavaria na Thuringia[3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads