Mtango-tamu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mtango-tamu (Solanum muricatum) ni mmea wa familia Solanaceae. Ijapokuwa mmea huu una mnasaba na mnyanya, matunda yake, yaitwayo matango matamu, yana ladha tofauti kabisa. Matunda haya yanafanana na magogwe makubwa na ladha yao ni mchanganyiko wa tikiti-asali na tango.
Mitango-tamu hukuzwa kwa biashara nchini Chili, Australia ya Magharibi na Nyuzilandi hasa, lakini pia katika Kolombia, Peru, Ekwador, Hispania, Kenya, Maroko na Marekani.
Remove ads
Picha
- Maua
- Tango tamu njano
- Matango matamu mekundu sokoni
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads