Spartacus
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Spartacus (jina lilivyo kwa Kilatini; kwa Kigiriki ni Σπάρτακος, Spártakos; 109 KK hivi – 71 KK) kwa mujibu wa wanahistoria wa Kirumi, alikuwa mtumwa hodari wa kupigana kwa upanga (Gladiator) [1] dhidi ya watu wengine au wanyama wa mwituni.

Baadaye alikuja kutoroka gerezani na kuwa kiongozi wa waasi au watumwa dhidi ya serikali ya Warumi.[2]
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads