Stanislaus Kazimierczyk

From Wikipedia, the free encyclopedia

Stanislaus Kazimierczyk
Remove ads

Stanislaus Kazimierczyk (27 Septemba 1433 - 3 Mei 1489) alikuwa padri kanoni wa Kanisa Katoliki nchini Polandi maarufu kwa ibada yake kwa Yesu ekaristi na kwa huruma yake kwa maskini[1][2]. Alijitahidi kuhubiri Neno la Mungu na kuwapa watu huduma za kitubio na uongozi wa kiroho.

Thumb
Mchoro wa Mt. Stanislaus.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 18 Aprili 1993. Halafu Papa Benedikto XVI alimtangaza mtakatifu tarehe 17 Oktoba 2010.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Mei[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads