Swithun wa Winchester

From Wikipedia, the free encyclopedia

Swithun wa Winchester
Remove ads

Swithun (au Swithin; kiasili Swīþhūn[1]; kwa Kilatini Swithunus; 800 hivi - Winchester, Hampshire, 2 Julai 862 hivi[2]) alikuwa askofu wa mji huo wa Uingereza kuanzia Oktoba 853 hadi kifo chake.

Thumb
Mt. Swithun katika mchoro mdogo.

Maarufu kwa maisha magumu na kwa kupenda fukara, alijenga makanisa mengi, aliyoyatembelea daima kwa miguu[3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waanglikana na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Julai[4] lakini pia 15 Julai.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads