Tambach
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Tambach ni mji wa Kenya magharibi, katika kaunti ya Elgeyo-Marakwet.
Umeunganika na mji wa Iten na kuwa na wakazi 44,448 kwa jumla wakati wa sensa ya mwaka 2009[1].
Tambach ni kata ya eneo bunge la Keiyo Kaskazini[2].
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads