Tambach

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Tambach ni mji wa Kenya magharibi, katika kaunti ya Elgeyo-Marakwet.

Umeunganika na mji wa Iten na kuwa na wakazi 44,448 kwa jumla wakati wa sensa ya mwaka 2009[1].

Tambach ni kata ya eneo bunge la Keiyo Kaskazini[2].

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads