Tausi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tausi
Remove ads

Tausi ni ndege wakubwa wa jenasi Pavo na Afropavo katika familia ya Phasianidae.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...

Dume ana rangi ing’aayo ya majani au buluu na mkia wake ni mrefu mwenye rangi nyingi. Jike ana rangi inayofifia pengine kahawia tu. Jinsia zote zina ushungi. Dume hukoga mkia kwa ubembelezi.

Hula matunda, maua, wadudu na watambazi. Hutaga mayai matatu hadi manane ardhini.

Tausi wa Kongo anatokea Kongo ya Kidemokrasia. Spishi mbili nyingine zinatokea misitu ya Asia, lakini zimewasilishwa katika sehemu nyingine za dunia, hususa tausi mhindi.

Remove ads

Spishi za Afrika

Spishi za Asia

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads