Taylor Swift
Mwimbaji-mtunzi wa nyimbo wa Marekani (aliyezaliwa 1989) From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Taylor Alison Swift (alizaliwa 13 Desemba 1989) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo wa muziki wa country-pop kutoka Marekani. Alijulikana kwa mara ya kwanza mnamo 2006 alipotoa wimbo wake wa kwanza, "Tim McGraw", akiwa na umri wa miaka 16.[1][2]

Mnamo 2007, Taylor alishinda Tuzo ya CMT kwa kipengele cha Video Bora ya Mwaka kupitia wimbo huo huo, na pia aliteuliwa katika Tuzo za Academy of Country Music kama Mwimbaji Chipukizi wa Kike.
Taylor Swift amekuwa mhusika muhimu sana katika utamaduni wa umaarufu. Umaarufu wake mkubwa pamoja na maisha yake ya kijamii na kazi ya sanaa huendelea kufuatiliwa kwa karibu na vyombo vya habari na mashabiki. Anaonekana kama mtu mwenye mvuto wa kiutamaduni na mara nyingi mjadala kuhusu kazi yake huibua maoni mbalimbali ya kijamii na kitamaduni.[3][4][5]
Kiasi cha thamani ya kutajwa katika vyombo vya habari bila malipo (media publicity value) juu yake kinakadiriwa kufikia dola bilioni 130 za Marekani kufikia mwaka 2023, jambo ambalo linaonyesha ukubwa wa ushawishi wake katika burudani na mitandao ya kijamii.[6][7]
Remove ads
Diskografia
Albamu za Studio
Single zake
Remove ads
Tuzo
- Tuzo za Muziki za CMT
- 2007, Kuvunja Rekodi ya Video Bora ya Mwaka: Tim McGraw (Ameshinda)
- Tuzo za Chuo cha Muziki wa Nchini
- 2007, Mwimbaji wa Kike Chipukizi: Ameshindanishwa (Kapotezwa na Miranda Lambert)
- Tuzo za Chuo cha Muziki wa Nchini
- 2008, Mwimbaji wa Kike Chipukizi (Ameshinda)
Viungo vya nje
- Tovuti rasmi ya Taylor Swift
- Taylor Swift katika IMDb
- Taylor Swift katika Instagram
- Taylor Swift Ilihifadhiwa 18 Septemba 2009 kwenye Wayback Machine. katika Twitter
- Taylor Swift katika YouTube
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads

