Teodolfi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Teodolfi, O.S.B. (alifariki Lobbes, Austrasia, leo nchini Ubelgiji, 24 Juni 776) alikuwa abati na askofu[1] ambaye alijitahidi kufuata mifano bora ya watangulizi wake wawili ambao aliagiza maisha yao yaandikwe.
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads