The Way It Is
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
The Way It Is ni albamu ya kwanza kuotka kwa mwimbaji Keyshia Cole, iliyotolewa mnamo 21 Juni 2005. Ilikuwa namba 6 kwenye chati ya Billboard 200 na ilikuwa na singles tano: "Never", "I Changed My Mind", "(I Just Want It) To Be Over", "I Should Have Cheated", na "Love". Albamu hii ilipata mauzo ya nakala 89,000 kwenye wiki yake ya kwanza.[1] Baadaye, ilithibitishwa gold baada ya wiki 17, kisha ikathibitishwa platinum wiki nane baadaye. Albamu hii ilibaki kwenye chati zaidi ya mwaka mzima, na mwishowe ikauza takriban nakala milioni 1.4. Hii ni albamu yake pekee iliyo na muhuri wa parental advisory.
Remove ads
Nyimbo zake
Remove ads
Wafanyikazi
|
|
Remove ads
Utayarishaji
- Executive producers: Keyshia Cole, Ron Fair
- Producer: Tal Herzberg, Loren Hill, Sean Garrett, Diesel, Daron Jones, Kerry "Krucial" Brothers, John Legend, Chink Santana, Rich Shelton, Kevin Veney, Kanye West
- Vocal producer: Keyshia Cole, Ron Fair, Sean Garrett, Alicia Keys
- Vocal assistance:
- Engineers: Shannon Braxton, Tal Herzberg, Jun Ishizeki, Anthony Kilhoffer, Ann Mincieli
- Assistant engineers: J.D. Andrew, Jun Ishizeki
- Mixing: Ron Fair, Dave Pensado
- Mixing assistance: Ariel Chobaz
- A&R: Justin Siegel destiny
- Design: Jason Clark, Michelle Thomas
- Photography: Chapman Baehler
- Co-Songwriter: Tim "Timbaland" Mosley
Chati
Album – Billboard (United States)
- "The Way It Is" made #10 on Billboard's 2006 Year End R&B/Hip-Hop Albums and #61 on the Year End Billboard 200.
Singles
Historia ya kutolewa albamu hii
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads