Theogene

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Theogene (alifariki 258) alikuwa askofu wa Hippo (leo Annaba nchini Algeria).

Alishiriki Mtaguso wa Karthago ulioitishwa na Sipriani mwaka 250 hivi.

Aliuawa pamoja na Wakristo wengine 36 wakati wa dhuluma ya kaisari Valerian[1].

Augustino wa Hippo aliandika habari zake [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Januari[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads