Tian Shan

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tian Shan
Remove ads

Tian Shan (inayojulikana pia kama Tengri Tagh au Tengir-sana, [1] kwa maana ya Milima ya mbinguni) ni eneo kubwa la milima lililoko Asia ya Kati. Kilele cha juu kabisa katika Tian Shan ni Jengish Chokusu yenye mita 7,493 juu ya UB. Sehemu ya chini ni mwinamo wa Turpan uliopo mita 154 chini ya usawa wa bahari. [2]

Thumb
Milima ya Asia ya Kati, Tian Shan iko upande wa kaskazini ya beseni ya Taklamakan, njano ni barabara ya hariri.
Thumb
Kitovu cha Tian Shan.
Remove ads

Jiografia

Safu za Tian Shan hutenganishakaskazini na kusini ya Turkestan, na pia kuenea ndani ya Kazakhstan, Kirgizia, Tajikistan, Uzbekistan na eneo la Xinjiang kaskazini-magharibi mwa China.

Tian Shan iko kaskazini na magharibi mwa Jangwa la Taklamakan na moja kwa moja upande wa kaskazini mwa Bonde la Tarim. Upande wa kusini inakutana na Milima ya Pamir na upande wa kaskazini na mashariki hukutana na Milima ya Altai ya Mongolia .

Thumb
Milima ya Tian Shan ilivyoonekana kutoka anga la nje kwenye Oktoba 1997, Ziwa la Issyk-Kul likionekana huko Kirgizia upande wa kaskazini.
Remove ads

Marejeo

Vitabu

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads