Togdheer
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Togdheer (Kisomali: Togdheer, Kiarabu: تُوجدَير) ni mkoa wa kiutawala (gobol) kaskazini mwa Somalia.[1][2]

Mkoa wa Togdheer umepakana na Woqooyi Galbeed upande wa kaskazini na magharibi, pia Ethiopia upande wa kusini, na mashariki imepakana na mikoa ya Sanaag and Sool.
Mji mkuu wake ukiwa ni Burao (Burco), jina la mkoa limetokana na Mto Togdheer, linalomaanisha mto mrefu kwa lugha ya Kisomali.
Remove ads
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads