Mkoa wa Sanaag

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Sanaag
Remove ads

Sanaag (kwa Kisomali: Sanaag, kwa Kiarabu: سناج) ni mkoa (gobol) uliopo kaskazini mwa jimbo la Khatumo, ni kati ya mikoa inayojitegemea kiutawala ndani ya Somalia ingawa inagombaniwa na Somaliland na Puntland.[1]

Thumb
Sanaag katika ramani ya Khatumo.
Thumb
Mlima Daallo, Sanaag.

Sanaag ina pwani ndefu inayoangalia Ghuba ya Aden kwa upande wa kaskazini, na imepakana na mikoa ya Woqooyi Galbeed, Togdheer, Sool na Bari

Mji mkuu wake ni Erigavo.

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads