Tomais wa Aleksandria

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tomais wa Aleksandria
Remove ads

Tomais wa Aleksandria (aliuawa 476) alikuwa mwanamke Mkristo wa mji huo wa Misri aliyekataa kuzini na babamkwe wake ambaye kwa sababu hiyo alimkata vipande viwili kwa upanga [1].

Thumb
Picha takatifu ya Mt. Tomais.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 14 Aprili[2][3].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads