Too Much (wimbo)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
"Too Much" ni jina la wimbo uliotoka 15 Julai, 2016 wa msanii wa muziki wa hip hop kutoka nchini Tanzania - Darassa. Wimbo umetayarishwa na Mr. T. Touch. Huu ndio wimbo ambao huhesabiwa kama ujio mwingine au wa kivingine wa Darassa tangu Kama Utanipenda na zile za nyuma kabla ya hii. Kuanzia hapa, Darassa alibadili muundo wa kutambaa na michano tofauti na awali. Tangu wimbo huu, Darassa ameamsha hisia za watu kila kona ya Tanzania. Hata baada ya kutoa Muziki alizidi kupendwa zaidi.[1]
Remove ads
Tazama pia
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads