Torlaki

From Wikipedia, the free encyclopedia

Torlaki
Remove ads

Torlaki (pia: Thorlak kutoka Kiiceland: Þorlákur; Fljótshlíð,, Iceland, 1133Skálholt, iceland, 23 Desemba 1193) alikuwa kanoni katika monasteri aliyoianzisha, halafu askofu wa Skálholt kuanzia mwaka 1178 hadi kifo chake, aliyejitahidi kuinua uadilifu wa waklero na waumini kwa jumla [1].

Thumb
Sanamu yake katika kanisa kuu la Kikatoliki la Reykjavík.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu. Papa Yohane Paulo II alithibitisha heshima hiyo tarehe 14 Januari 1984.

Sikukuu yake ni tarehe ya kifo chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads