Tunis

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tunis
Remove ads

Tunis (kwa Kiarabu: تونس ) ni mji mkuu wa Tunisia na mji mkubwa nchini ikiwa na wakazi 602,560 (mwaka 2022) ambao pamoja na wakazi wa mitaa ya nje wanafikia jumla ya milioni 2.7.

Ukweli wa haraka Nchi, - Wakazi kwa ujumla ...
Thumb
Place de la Victoire (Uwanja wa ushindi) mjini Tunis
Thumb
Picha ya Tunis kutoka angani

Mji uko ufukoni mwa Mediteranea, karibu na Karthago ya Kale.

Mji wa kale (Medina ya Tunis) umeorodheshwa na UNESCO kama Urithi wa Dunia.

Remove ads

Tazama pia

Thumb
Mandhari ya Tunis usiku

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Tunis kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads