Ushanga wa sala

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ushanga wa sala
Remove ads

Ushanga wa sala ni ushanga uliotengeneza kwa ajili ya kusali kwa kukariri maneno kadhaa ya imani.

Thumb
"Japa mala" ya Kihindu.
Thumb
Tasbihi ya Fatura ya Waosmani.

Shanga zilitumika kama pambo tangu kale: barani Afrika zimepatikana za miaka 10,000 KK.

Lini na wapi zilianza kutumika kwa ajili ya sala haijulikani, lakini kuna sanamu ya karne ya 3 KK inayomuonyesha Mhindu akiwa na ushanga wa sala.

Lengo ni kutunza hesabu ya kauli ambazo zinakaririwa kwa kupitisha vidole viwili juu ya punje zilizounganishwa katika kamba au uzi kama kwa Wakristo Waorthodoksi (kamba ya sala) na Wakatoliki (rozari).

Remove ads

Picha za Kikristo

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads