Utamadunisho
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Utamadunisho (kwa Kiingereza "enculturation") ni mchakato wa mtu kupokea utamaduni wa wale wanaomzunguka[1] ili kuingia zaidi katika maisha ya jamii husika.

Katika Ukristo
Katika Ukristo msamiati huo unamaanisha hasa mchakato wa ujumbe wa Injili kuingia kwa dhati zaidi katika maisha ya watu wa utamaduni fulani ili Kanisa lizidi kutia mizizi katika kabila au taifa husika badala ya kubaki kasumba.
Mchakato huo hauwezi kufanyika mara moja, bali unadai uwazi wa waumini kwa Neno la Mungu na kwa Roho Mtakatifu pamoja na jitihada za makusudi na za pamoja.
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads