Uwanja wa ndege wa Tanga
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Uwanja wa ndege wa Tanga (IATA: TGT, ICAO: HTTG) ni kiwanja cha ndege kinachohudumia mji wa Tanga nchini Tanzania.
Kiwanja hiki kiko kilomita 5 (maili 3.1) kusini magharibi mwa mji. Maruko la ndege kiratiba zimepangwa kuelekea miji wa Arusha na Dar es Salaam; na visiwa vya Pemba na Unguja.
Remove ads
Makampuni ya ndege na vifiko
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads