Uwanja wa ndege wa Tanga

From Wikipedia, the free encyclopedia

Uwanja wa ndege wa Tangamap
Remove ads

Uwanja wa ndege wa Tanga (IATA: TGT, ICAO: HTTG) ni kiwanja cha ndege kinachohudumia mji wa Tanga nchini Tanzania.

Ukweli wa haraka Uwanja wa ndege wa Tanga English: Tanga Airport, Muhtasari ...

Kiwanja hiki kiko kilomita 5 (maili 3.1) kusini magharibi mwa mji. Maruko la ndege kiratiba zimepangwa kuelekea miji wa Arusha na Dar es Salaam; na visiwa vya Pemba na Unguja.

Remove ads

Makampuni ya ndege na vifiko

Maelezo zaidi Makampuni ya ndege, Vifiko 
 ...

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads