Uzushi wa kidini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Uzushi wa kidini
Remove ads

Uzushi wa kidini (kwa Kiingereza: heresy, kutoka neno la Kigiriki: αἵρεσις, yaani "chaguo" [1] ) ni fundisho lolote lililo tofauti la yale yanayotolewa rasmi katika dini fulani, kama vile Uyahudi, Ukristo na Uislamu[2] .

Thumb
Injili ikishinda uzushi na nyoka: sanamu katika Kanisa la Gustaf Vasa, Stockholm, Uswidi, kazi ya Burchard Precht.
Thumb
Sanamu huko Vienna ikionyesha Ignas wa Loyola akikanyaga mzushi.

Kwa kawaida ndiyo chanzo cha madhehebu mapya.

Uzushi huo unatazamwa kama kosa linaloweza kuadhibiwa kwa wahusika kutengwa hata kuuawa[3].

Hata hivyo, ni tofauti na uasi ambao unakataa kabisa dini yenyewe[4].

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads