Kiluwiluwi (ndege)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kiluwiluwi (ndege)
Remove ads

Viluwiluwi ni ndege wa familia ndogo Vanellinae katika familia Charadriidae. Spishi hizi ni kubwa kuliko zile za familia ndoga ya Charadriinae. Huonekana mara kwa mara kando ya maji, lakini spishi nyingi huonekana pia mbali na maji hata kwa maeneo makavu. Hutaga mayai yao chini na hula wadudu hasa.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Kwa maana mengine tazama Kiluwiluwi
Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za mabara mengine

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads