Vedasto wa Arras

From Wikipedia, the free encyclopedia

Vedasto wa Arras
Remove ads

Vedasto wa Arras (pia: Vedastus, Vaast, Waast, Gaston, Foster; 453Arras, Pas-de-Calais, 540) alikuwa askofu wa mji huo (leo nchini Ufaransa) kwa miaka zaidi ya 40. Alikuwa ametumwa huko na Remi wa Reims wakati mji ulipokuwa umeangamizwa, akainjilisha mfalme Klovis akiingiza Wapagani wengi katika Kanisa Katoliki[1].

Thumb
Mt. Vedasto akipewa daraja takatifu.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Februari[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads