Viborada

From Wikipedia, the free encyclopedia

Viborada
Remove ads

Viborada (pia: Wiborada, Guiborat, Weibrath au Viborata; Aargau, leo nchini Uswisi, karne ya 9St. Gallen, Uswisi, 1 Mei 926) alikuwa bikira mkaapweke mwenye karama za pekee ambaye hatimaye aliuawa na Wahungari Wapagani kwa sababu ya imani yake na ya maisha yake ya kitawa[1].

Thumb
Mt. Viborada katika mchoro mdogo wa mwaka 1430 hivi.
Thumb
Kifodini cha Mt. Viborada.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu. Tena ndiye wa kwanza kutangazwa na Papa. Hilo lilifanywa na Papa Klementi II mwaka 1047.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Mei[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads