Viborada
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Viborada (pia: Wiborada, Guiborat, Weibrath au Viborata; Aargau, leo nchini Uswisi, karne ya 9 – St. Gallen, Uswisi, 1 Mei 926) alikuwa bikira mkaapweke mwenye karama za pekee ambaye hatimaye aliuawa na Wahungari Wapagani kwa sababu ya imani yake na ya maisha yake ya kitawa[1].


Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu. Tena ndiye wa kwanza kutangazwa na Papa. Hilo lilifanywa na Papa Klementi II mwaka 1047.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads