Mharagwe-pana

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mharagwe-pana
Remove ads

Mharagwe-pana (jina la kisayansi: Vicia faba) ni jina la mmea katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa maharagwe mapana.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...

Asili ya mmea huu ni Mashariki ya Kati lakini siku hizi hukuzwa mahali pote katika kanda za nusutropiki na wastani.

Vipande vinavyolika ni mbegu (bichi na bivu), matumba machanga na majani.

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads