Vigoi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Vigoi ni kata ya Wilaya ya Ulanga katika Mkoa wa Morogoro, Kijiji Cha vigoi,Tanzania, yenye Postikodi namba 67602.
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 7,448 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 14,452 waishio humo.[2]
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads