Volgograd

From Wikipedia, the free encyclopedia

Volgograd
Remove ads

Volgograd (Kirusi: Волгоград) ni mji wa Urusi. Ina wakazi 1,011,417. Iko katika mkoa wa Volgograd Oblast kando ya mto Volga.

Thumb
Volgograd

Jina asili la mji hadi mwaka 1925 lilikuwa Zarizyn (Kirus. Царицын), kuanzia 1925 hadi 1961 uliitwa Stalingrad kwa heshima ya dikteta wa Umoja wa Kisovyeti; baada ya kuondolewa kwa heshima za Stalin mji ulipewa jina Volgograd mnamo 1961.

Jina la Stalingrad ni maarufu kwa mapigano makali dhidi ya Wajerumani wakati wa Vita Kuu ya Pili yaliyoleta mageuzo ya vita kuelekea ushindi wa Urusi.

Remove ads

Tazama pia

Makala hii kuhusu maeneo ya Urusi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Volgograd kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads