Waamoni

From Wikipedia, the free encyclopedia

Waamoni
Remove ads

Amon (kwa Kiebrania עַמּוֹן ʻAmmôn; kwa Kiarabu a=عمّون|t=ʻAmmūn), ni jina la kabila la zamani lililotawala upande wa mashariki wa mto Yordani, leo nchini Yordani.[1][2][3]

Thumb
Mnara wa Waamoni huko Rujm Al-Malfouf, Amman, Yordani.
Thumb
Qasr Al Abd ilijengwa na gavana wa Ammon kama mwaka 200 KK.

Mji muhimu zaidi wa Waamoni ulikuwa Rabbah au Rabbath Ammon, mahali pa Amman ya leo, makao makuu ya Jordan.

Waliabudu hasa Milkom na Molekh (pengine ni majina mawili ya mungu yuleyule).

Kwa mara ya mwisho uwepo wao unatajwa katika kitabu cha karne ya 2.

Remove ads

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads