Waaringa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Waaringa ni kabila wanaoishi kaskazini kwa ziwa Albert nchini Uganda (Wilaya ya Yumbe) karibu na mpaka wa Sudan Kusini.

Ndio wakazi asili wa eneo hilo, kabla ya ujio wa watu kutoka kaskazini[1].

Lugha ya wengi wao ni Kiaringa, mojawapo kati ya lugha za Kisudani.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads