Wabaski

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wabaski
Remove ads

Wabaski (kwa Kieuskara euskalduna) ni kabila la watu milioni 2-3 wanaoishi hasa Hispania kaskazini, lakini pia Ufaransa kusini-magharibi, mbali ya wengi waliohamia sehemu nyingine za dunia, hasa Amerika.

Thumb
Sikukuu ya Artzaiak eta inudeak, Donostia, Ubaski.

Lugha yao si kati ya lugha za Kihindi-Kiulaya.

Kati ya Wabaski maarufu zaidi, kuna mapadri watakatifu Ignas wa Loyola na Fransisko Saveri, waanzilishi wa Shirika la Yesu, na Mikaeli Garicoits, mwanzilishi wa Mapadri na mabradha wa Betharram.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads