Wafiadini Waabrahamu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wafiadini Waabrahamu (walifariki Konstantinopoli, leo Istanbul nchini Uturuki, 835 hivi) ni kundi la wamonaki wa mji huo ambao waliuawa wakati wa dhuluma ya kaisari Teofilo wa Bizanti kwa sababu ya kuheshimu picha takatifu [1].
Wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads