Wafipa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Wafipa ni kabila la watu wa Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Rukwa, hasa katika wilaya za Sumbawanga na Nkansi. Lugha yao ni Kifipa.

Hapo awali, miaka ya 1880, waliongozwa na Mtemi Kapufi wa Nkansi. [1] Ilihifadhiwa 13 Januari 2024 kwenye Wayback Machine.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads