Waldebati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Waldebati (pia: Waldebert, Gaubert, Valbert, Walbert; 595 hivi - 668 hivi) alikuwa mtawala tajiri na askari ambaye alipata kuwa mkaapweke na hatimaye abati wa tatu wa Luxeuil kuanzia mwaka 628, akimrithi Eustasi, mwanafunzi wa Kolumbani[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa hasa tarehe 2 Mei[2].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads