Wanas

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Wanas (kwa Kiarabu: القديس ونس; alifariki karne ya 4) ni jina la mtoto wa Misri aliyeuawa kwa kukatwa kichwa kutokana na juhudi zake katika kueneza imani ya Kikristo[1][2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa la Kikopti kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake ni tarehe 25 Novemba.

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads