Wandendeule

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Wandendeule ni kabila la watu wa Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Ruvuma, hasa maeneo ya wilaya ya Namtumbo.

Lugha yao ni Kindendeule.[1]

Utamaduni

Mila zao ni nyingi. Wasichana wakishabalehe wanapelekwa porini kuchezwa unyago, na hurudishwa nyumbani kwa shangwe na vigelegele.

Zao lao kuu la biashara ni tumbaku.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads