Wapimbwe

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Wapimbwe ni kabila la watu kutoka Mkoa wa Rukwa, magharibi mwa nchi ya Tanzania. Mwaka 1987 idadi ya Wapimbwe ilikadiriwa kuwa 29,000 [1]. Lugha yao ni Kipimbwe.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads