Wapimbwe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wapimbwe ni kabila la watu kutoka Mkoa wa Rukwa, magharibi mwa nchi ya Tanzania. Mwaka 1987 idadi ya Wapimbwe ilikadiriwa kuwa 29,000 [1]. Lugha yao ni Kipimbwe.
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads