Wasabaot
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wasabaot ni jina la kabila dogo la Waniloti ambalo huhesabiwa la asili zaidi katika kabila kuu la Wakalenjin.
Wanaishi kwenye mlima Elgon, nchini Kenya.
Lugha
Wao huongea Kisabaot, lahaja ya lugha ya Kikalenjin, mojawapo ya lugha za Kiniloti.
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads