Wasilvesta

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wasilvesta
Remove ads

Wasilvesta ni wamonaki Wabenedikto wanaofuata urekebisho ambao ulianzishwa na Silvesta Guzzolini katika karne ya 13 na kukubaliwa na Papa mwaka 1248.

Thumb
Nembo ya Wasilvesta.

Kutoka monasteri za Fabriano, Italia, shirika limeenea sasa katika nchi za Sri Lanka, India, Australia, Marekani, Ufilipino na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Tazama pia

Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wasilvesta kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads