Watachoni

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Watachoni ni kabila la watu wenye asili ya Wakalenjin wanaoishi magharibi mwa Kenya, hasa katika kaunti ya Bungoma na kaunti ya Kakamega.

Kwa kuchanganyikana na Waluhya, siku hizi lugha yao ni Lutachoni, lahaja ya Kiluhya, mojawapo kati ya lugha za Kibantu.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads