Wiho

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Wiho (pia: Wicho, Wito, Vuiho; Ljouwert, leo nchini Uholanzi, karne ya 8 - Osnabruck, leo nchini Ujerumani, 20 Aprili 804/805) alikuwa abati, halafu askofu wa kwanza wa jimbo la Osnabruch, lililoanzishwa na Karolo Mkuu mwaka 772 ili kuinjilisha Wasaksoni [1]. Kwa ajili hiyo aliteseka sana[2].

Chini yake jimboni kilianzishwa kimojawapo kati ya vyuo vya juu vya Ujerumani, Gymnasium Carolinum.

Anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe 20 Aprili[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads