Wilaya ya Bunda Mjini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wilaya ya Bunda Mjini
Remove ads

Wilaya ya Bunda Mjini ni wilaya mojawapo kati ya 9 za Mkoa wa Mara.

Thumb
Mahali pa wilaya za Bunda (kijani cheusi) katika mkoa wa Mara.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya ya Bunda ilihesabiwa kuwa 260,000 [1] na katika ile ya mwaka 2022, baada ya kumegwa, wale wa Mjini walihesabiwa 182,970 [2].

Makao makuu ya wilaya yapo mjini Bunda.

Misimbo ya posta wilayani ni 31501 hadi 31528. 

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads