Wilaya ya Magu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Wilaya ya Magu ni wilaya mojawapo kati ya 8 za Mkoa wa Mwanza.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 299,759 waishio humo. [1] na katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 421,119 [2].

Makao makuu ya wilaya yako Magu Mjini.

Misimbo ya posta katika wilaya hii inaanza kwa tarakimu 334.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads