Wilaya ya Nyamira

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wilaya ya Nyamira
Remove ads

Wilaya ya Nyamira ilikuwa wilaya mojawapo ya Mkoa wa Nyanza wa Jamhuri ya Kenya hadi ilipopitishwa katiba mpya ya nchi (2010).

Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...

Ilikuwa sehemu ya Wilaya ya Kisii na kuitwa pia Kisii Kaskazini. Wilaya hii ilikuwa na watu 492,102 kulingana na sensa ya mwaka 1999.

Makao makuu yalikuwa mji wa Nyamira wenye watu takribani 10,000 kulingana na hesabu ya 1999.

Kwa sasa imekuwa kaunti ya Nyamira.

Remove ads

Maeneo ya Utawala ya Wilaya

Maelezo zaidi Eneo, Aina ya Utawala ...
Maelezo zaidi Tarafa, Idadi ya Watu* ...
Remove ads

Majimbo ya Uchaguzi

Wilaya ya Nyamira ina majimbo matatu ya Uchaguzi:

Tazama Pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads