Wistani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wistani (pia Wigstan, Wystan; alifariki Lichester, 840 hivi) alikuwa mfalme wa Mercia, leo nchini Uingereza ambaye alipinga ndoa ya malkia, mama yake, na ndugu wa karibu, ambaye alimuua kwa sababu hiyo [1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads