Wistani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wistani
Remove ads

Wistani (pia Wigstan, Wystan; alifariki Lichester, 840 hivi) alikuwa mfalme wa Mercia, leo nchini Uingereza ambaye alipinga ndoa ya malkia, mama yake, na ndugu wa karibu, ambaye alimuua kwa sababu hiyo [1][2].

Thumb
Mahali alipowahi kuzikwa.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Juni[3].

Tazama pia

Tanbihi

Loading content...

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads