Xiaogan, Hubei
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Xiaogan (kwa Kichina: 孝感市, Xiàogǎn Shì) ni mji wa China katika mkoa wa Hubei.


Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, kuna wakazi wapatao milioni 4.7 wanaoishi katika mji huu.
Mji uko mita 28 juu ya usawa wa bahari.
Eneo lake ni km² 8922.72.
Remove ads
Viungo vya nje
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya China bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Xiaogan, Hubei kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads