Yarilati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yarilati
Remove ads

Yarilati (kwa Kieire: Iarlaithe mac Loga; 445 hivi - 540 hivi) alikuwa askofu katika kisiwa cha Ireland[1][2].

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Feast ...

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi[3] kama mtakatifu. Papa Leo XIII alithibitisha heshima hiyo tarehe 19 Juni 1902.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Juni[4].

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo vikuu

Vyanzo vingine

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads