Yefta
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Yefta (kwa Kiebrania יפתח, Yip̄tāḥ) alikuwa mmojawapo kati ya Waamuzi wa Biblia.

Kadiri ya Waamuzi 11-12 alikuwa wa kabila la Manase au wa kabila la Gadi akaongoza Israeli kwa miaka 6[1].
Alikuwa na mtoto mmoja tu, tena wa kike[2], lakini alimtoa sadaka kwa Mungu kama shukrani kwa kumpa ushindi vitani dhidi ya Waamoni. Alifanya hivyo ili kutimiza nadhiri aliyoweka kwanza, bila kujua kwamba Torati inakataza sadaka za namna hiyo.
Remove ads
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads