Yefta

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yefta
Remove ads

Yefta (kwa Kiebrania יפתח‎‎, Yip̄tāḥ) alikuwa mmojawapo kati ya Waamuzi wa Biblia.

Thumb
Yefta alivyochorwa katika Promptuarii Iconum Insigniorum ya Guillaume Rouillé.
Thumb
Binti Yefta, mchoro wa Alexandre Cabanel (1879).

Kadiri ya Waamuzi 11-12 alikuwa wa kabila la Manase au wa kabila la Gadi akaongoza Israeli kwa miaka 6[1].

Alikuwa na mtoto mmoja tu, tena wa kike[2], lakini alimtoa sadaka kwa Mungu kama shukrani kwa kumpa ushindi vitani dhidi ya Waamoni. Alifanya hivyo ili kutimiza nadhiri aliyoweka kwanza, bila kujua kwamba Torati inakataza sadaka za namna hiyo.

Remove ads

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads