Yehoramu wa Yuda

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yehoramu wa Yuda
Remove ads

Yehoramu wa Yuda (kwa Kiebrania: יְהֹורָם, Yəhōrām, yaani Yahweh ametukuka; pia: יוֹרָם Yōrām; 882 KK hivi - 842 KK hivi) alitawala ufalme wa Yuda kati ya miaka 849 KK na 842 KK baada ya kuua ndugu zake 6.

Thumb
Mfalme Yehoramu alivyochorwa na Guillaume Rouillé mwaka 1553.

Kwa kuoa Atalia, binti Ahabu, alifuata sera za ufalme wa Israeli dhidi ya Mungu pekee, YHWH, kinyume na alivyofanya baba yake Yehoshafati. Biblia inaeleza ndiyo sababu ya kushindwa kutawala kwa mafanikio.

Aliyemrithi ni mwanae Ahazia.

Habari zake zinapatikana hasa katika Kitabu cha Pili cha Wafalme 8 na Kitabu cha Pili cha Mambo ya Nyakati 21-22.

Pia anatajwa na Injili ya Mathayo kati ya mababu wa Yesu Kristo.

Remove ads

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads