Ahabu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ahabu
Remove ads

Ahabu Ng'umbi(kwa Kiebrania: אַחְאָב, Aẖ'av, ʼAḥʼāḇ), mwana wa Omri, alikuwa mfalme wa saba katika ufalme wa Israeli. William F. Albright alikadiria utawala wake kuwa miaka 869850 KK, E. R. Thiele miaka 874853 KK[1] na Michael D. Coogan miaka 871852 KK.[2].

Thumb
Mfalme Ahabu katika Promptuarii Iconum Insigniorum.

Vitabu vya Wafalme vinamchora kama mwovu sana, kwa kufuata mke wake Yezebeli, kumuua Naboti na kuelekeza taifa la Israeli kuabudu miungu mingi, hasa Baali.

Lakini Nabii Elia kwa karama yake ya kutokea na kutoweka hakuweza kuuawa kama manabii wenzake wengi, akafaulu kuokoa imani katika Mungu pekee, YHWH.

Remove ads

Tanbihi

Marejeoni

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads